Zaburi 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana yeye mwenyewe alisema, na ikawa hivyo;+Yeye mwenyewe alitoa amri, nayo ikasimama hivyo.+ Zaburi 68:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova mwenyewe anasema neno hili;+Wanawake wanaotangaza habari njema ni jeshi kubwa.+ Zaburi 107:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akatuma neno lake na kuwaponya+Na kuwaokoa kutoka katika mashimo yao.+