Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nayo haya ndiyo maamuzi ya hukumu utakayoweka mbele yao:+

  • Hesabu 15:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+

  • Nehemia 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri.

  • Zaburi 119:137
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 137 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+

      Nayo maamuzi yako ya hukumu ni manyoofu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki