Zaburi 50:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kila mnyama wa mwituni ni wangu,+Wanyama walio juu ya milima elfu moja.+ Isaya 43:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mnyama wa mwituni atanitukuza,+ mbwa-mwitu na mbuni;+ kwa sababu nitakuwa nimewapa maji hata katika nyika, mito katika jangwa,+ ili kuwafanya watu wangu, mchaguliwa wangu,+ wanywe,
20 Mnyama wa mwituni atanitukuza,+ mbwa-mwitu na mbuni;+ kwa sababu nitakuwa nimewapa maji hata katika nyika, mito katika jangwa,+ ili kuwafanya watu wangu, mchaguliwa wangu,+ wanywe,