Zaburi 35:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini nafsi yangu mwenyewe na iwe na shangwe katika Yehova;+Na ishangilie katika wokovu wake.+ Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+ Zaburi 59:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+ Luka 1:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na roho yangu haiwezi kuacha kumfurahia+ Mungu Mwokozi+ wangu;
14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+
16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+