Zaburi 57:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+ 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+
4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+
8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+