Zaburi 135:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ee nyumba ya Lawi, mbarikini Yehova.+Ninyi mnaomwogopa Yehova, mbarikini Yehova+. Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+ Matendo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+
24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+