Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 135:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ee nyumba ya Lawi, mbarikini Yehova.+

      Ninyi mnaomwogopa Yehova, mbarikini Yehova+.

  • Luka 1:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+

  • Matendo 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema:

      “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki