Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+

      Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+

  • Zaburi 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—

      Ndilo nitakalolitafuta,+

      Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+

      Ili kuuona uzuri wa Yehova+

      Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+

  • Zaburi 65:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+

      Ili apate kukaa katika nyua zako.+

      Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+

      Mahali patakatifu pa hekalu lako.+

  • Zaburi 84:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wenye furaha ni wale wanaokaa katika nyumba yako!+

      Bado wanaendelea kukusifu.+ Sela.

  • Zaburi 122:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 122 Nilishangilia walipokuwa wakiniambia:+

      “Na twende+ katika nyumba ya Yehova.”+

  • Luka 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 naye sasa alikuwa mjane+ mwenye umri wa miaka 84), ambaye alikuwa hakosi kamwe kuwa katika hekalu, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana+ kwa kufunga na dua.

  • Ufunuo 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki