37 naye sasa alikuwa mjane+ mwenye umri wa miaka 84), ambaye alikuwa hakosi kamwe kuwa katika hekalu, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana+ kwa kufunga na dua.
3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+