Kumbukumbu la Torati 33:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wataita vikundi vya watu mlimani.Huko watatoa dhabihu za uadilifu.+Kwa maana watanyonya mali nyingi ya bahari+Na akiba zilizofichika za mchanga.” Zaburi 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za uadilifu,+Na dhabihu za kuteketezwa na toleo zima;+Ndipo ng’ombe-dume watakapotolewa katika madhabahu yako mwenyewe.+
19 Wataita vikundi vya watu mlimani.Huko watatoa dhabihu za uadilifu.+Kwa maana watanyonya mali nyingi ya bahari+Na akiba zilizofichika za mchanga.”
19 Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za uadilifu,+Na dhabihu za kuteketezwa na toleo zima;+Ndipo ng’ombe-dume watakapotolewa katika madhabahu yako mwenyewe.+