Zaburi 93:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 93 Yehova mwenyewe amekuwa mfalme!+Amevaa adhama;+Yehova amevaa—amejifunga mshipi wa nguvu.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isipate kutikiswa.+ Isaya 42:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.
93 Yehova mwenyewe amekuwa mfalme!+Amevaa adhama;+Yehova amevaa—amejifunga mshipi wa nguvu.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isipate kutikiswa.+
13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.