Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+

  • 1 Samweli 17:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi akasema: “Sikilizeni kwa makini, Yuda wote nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Tazama, Yehova amewaambia ninyi hivi, ‘Msiogope+ wala msiwe na hofu kwa sababu ya umati huu mkubwa; kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • Isaya 59:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo akavaa uadilifu kama vazi la chuma,+ na kofia ya chuma ya wokovu juu ya kichwa chake.+ Zaidi ya hayo, alivaa nguo za kisasi kama mavazi+ na kujifunga kwa bidii kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki