15 Basi akasema: “Sikilizeni kwa makini, Yuda wote nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Tazama, Yehova amewaambia ninyi hivi, ‘Msiogope+ wala msiwe na hofu kwa sababu ya umati huu mkubwa; kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+
17 Ndipo akavaa uadilifu kama vazi la chuma,+ na kofia ya chuma ya wokovu juu ya kichwa chake.+ Zaidi ya hayo, alivaa nguo za kisasi kama mavazi+ na kujifunga kwa bidii kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+