2 Mambo ya Nyakati 6:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+ Zaburi 98:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Amezikumbuka fadhili zake zenye upendo na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+Miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.+ Zaburi 103:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+ Isaya 63:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+
42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+
3 Amezikumbuka fadhili zake zenye upendo na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+Miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.+
17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+ Isaya 63:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+
15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+