Hesabu 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yehova na ainue uso wake kukuelekea+ na kukupa amani.”’+ Zaburi 80:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Mungu wa majeshi, uturudishe;+Na uutie uso wako nuru, ili tupate kuokolewa.+ Zaburi 89:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+ Zaburi 119:135 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 135 Ufanye uso wako umwangazie mtumishi wako,+Na unifundishe masharti yako.+ Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+
15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+
15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+