Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yehova na ainue uso wake kukuelekea+ na kukupa amani.”’+

  • Zaburi 80:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ee Mungu wa majeshi, uturudishe;+

      Na uutie uso wako nuru, ili tupate kuokolewa.+

  • Zaburi 89:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+

      Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+

  • Zaburi 119:135
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 135 Ufanye uso wako umwangazie mtumishi wako,+

      Na unifundishe masharti yako.+

  • Methali 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki