43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+
3 Umelifanya hilo taifa kuwa na watu wengi;+ umefanya kuwe na shangwe kuu kwa ajili yake.+ Wameshangilia mbele zako kama kwa shangwe ya wakati wa mavuno,+ kama wale walio na shangwe wakati wanapogawana nyara.+