2 Wafalme 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+ Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+
3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+
3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+