Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+ Yeremia 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sikuketi katika kikundi cha rafiki wanaofanya utani+ na kuanza kufurahi.+ Kwa sababu ya mkono wako nimeketi mimi peke yangu,+ kwa maana wewe umenijaza shutuma.+
20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+
17 Sikuketi katika kikundi cha rafiki wanaofanya utani+ na kuanza kufurahi.+ Kwa sababu ya mkono wako nimeketi mimi peke yangu,+ kwa maana wewe umenijaza shutuma.+