Mathayo 21:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+ Wafilipi 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Si kwamba ninatafuta hiyo zawadi+ kwa bidii, bali ninatafuta kwa bidii matunda+ yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu yenu. Ufunuo 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ukiteremka kupitia katikati ya njia yake pana. Na upande huu wa mto na upande ule kulikuwa na miti+ ya uzima yenye kuzaa mazao kumi na mawili ya matunda, ikitoa matunda yake kila mwezi.+ Na majani ya miti ile yalikuwa ya kuponya mataifa.+
43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+
17 Si kwamba ninatafuta hiyo zawadi+ kwa bidii, bali ninatafuta kwa bidii matunda+ yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu yenu.
2 ukiteremka kupitia katikati ya njia yake pana. Na upande huu wa mto na upande ule kulikuwa na miti+ ya uzima yenye kuzaa mazao kumi na mawili ya matunda, ikitoa matunda yake kila mwezi.+ Na majani ya miti ile yalikuwa ya kuponya mataifa.+