Zaburi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninapoita, unijibu, Ee Mungu wangu mwadilifu.+Katika taabu unifanyie nafasi panaNionyeshe kibali+ na kuisikia sala yangu. Zaburi 130:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, uisikie sauti yangu.+Masikio yako na yasikilize sauti ya kusihi kwangu.+
4 Ninapoita, unijibu, Ee Mungu wangu mwadilifu.+Katika taabu unifanyie nafasi panaNionyeshe kibali+ na kuisikia sala yangu.