1 Samweli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Samweli akachukua jiwe+ na kulisimamisha kati ya Mispa na Yeshana, akaliita jina Ebenezeri. Basi akasema: “Yehova ametusaidia mpaka sasa.”+ Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+
12 Kisha Samweli akachukua jiwe+ na kulisimamisha kati ya Mispa na Yeshana, akaliita jina Ebenezeri. Basi akasema: “Yehova ametusaidia mpaka sasa.”+