Zaburi 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+ Zaburi 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+Husimama katika njia isiyo nzuri.+Hakatai lililo baya.+ Methali 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ijapokuwa yeye huifanya sauti yake kuwa yenye kupendeza,+ usimwamini,+ kwa maana mna machukizo saba+ moyoni mwake.
14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+
4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+Husimama katika njia isiyo nzuri.+Hakatai lililo baya.+
25 Ijapokuwa yeye huifanya sauti yake kuwa yenye kupendeza,+ usimwamini,+ kwa maana mna machukizo saba+ moyoni mwake.