Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama vile tai anavyokitikisa kiota chake,

      Anavyoelea angani juu ya watoto wake,+

      Anavyotandaza mabawa yake, na kuwachukua,

      Anavyowachukua kwenye manyoya yake,+

  • Zaburi 78:71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+

      Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+

      Na juu ya Israeli, urithi wake.+

  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki