1 Mambo ya Nyakati 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mhesabieni Yehova, enyi familia za vikundi vya watu,Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+ Zaburi 96:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mhesabieni Yehova, enyi familia za vikundi vya watu,+Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+ Habakuki 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu mwenyewe alikuja kutoka Temani, Mtakatifu kutoka Mlima Parani.+ Sela.+ Utukufu wake ulizifunika mbingu;+ na dunia ikajazwa sifa yake.+
3 Mungu mwenyewe alikuja kutoka Temani, Mtakatifu kutoka Mlima Parani.+ Sela.+ Utukufu wake ulizifunika mbingu;+ na dunia ikajazwa sifa yake.+