Zaburi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.
16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.