Yeremia 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na wakati uleule wao hawatumii akili na ni wajinga.+ Mti huchochea kufuatilia ubatili tu.+ Yona 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wale wanaozifuata sanamu zisizo za kweli, wanaziacha fadhili zao wenyewe zenye upendo.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
8 Nao wale wanaozifuata sanamu zisizo za kweli, wanaziacha fadhili zao wenyewe zenye upendo.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+