Ayubu 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na jicho langu linaingia giza kutokana na usumbufu+Na viungo vyangu vyote ni kama kivuli. Zaburi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+ Zaburi 88:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Jicho langu mwenyewe limedhoofika kwa sababu ya mateso yangu.+Nimekuitia wewe, Ee Yehova, mchana kutwa;+Nimekunyooshea mikono yangu.+
7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+
9 Jicho langu mwenyewe limedhoofika kwa sababu ya mateso yangu.+Nimekuitia wewe, Ee Yehova, mchana kutwa;+Nimekunyooshea mikono yangu.+