Zaburi 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ataikata midomo yote iliyo laini,Ulimi unaosema maneno makuu,+ Zaburi 63:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye mfalme mwenyewe atashangilia katika Mungu.+Kila anayeapa kwa jina lake atajisifu,+Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitazibwa.+
11 Naye mfalme mwenyewe atashangilia katika Mungu.+Kila anayeapa kwa jina lake atajisifu,+Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitazibwa.+