25 Inatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli,+ je, hawatawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake hata zaidi?
7 Alipofika, Wayahudi waliokuwa wameshuka kutoka Yerusalemu wakasimama kumzunguka huku na huku, wakileta juu yake mashtaka+ mengi na mazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.