Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na bado watumishi wake wakasema mabaya zaidi juu ya Yehova Mungu wa kweli,+ na juu ya Hezekia mtumishi wake.

  • Mathayo 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Inatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli,+ je, hawatawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake hata zaidi?

  • Matendo 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alipofika, Wayahudi waliokuwa wameshuka kutoka Yerusalemu wakasimama kumzunguka huku na huku, wakileta juu yake mashtaka+ mengi na mazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki