Ayubu 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ngozi yangu ikawa nyeusi+ na kuanguka kutoka kwangu,Na mifupa yangu ikawaka moto kutokana na ukavu. Zaburi 63:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+Nafsi yangu ina kiu kwa ajili yako.+Mwili wangu umezimia kwa kukutamani wewe.Katika nchi iliyokauka na kuchoka, ambapo hakuna maji.+ Zaburi 102:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana siku zangu zimefikia mwisho kama moshi,+Na mifupa yangu imefanywa kuwa na moto mkali kama jiko.+
30 Ngozi yangu ikawa nyeusi+ na kuanguka kutoka kwangu,Na mifupa yangu ikawaka moto kutokana na ukavu.
63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+Nafsi yangu ina kiu kwa ajili yako.+Mwili wangu umezimia kwa kukutamani wewe.Katika nchi iliyokauka na kuchoka, ambapo hakuna maji.+
3 Kwa maana siku zangu zimefikia mwisho kama moshi,+Na mifupa yangu imefanywa kuwa na moto mkali kama jiko.+