Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu.

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Yeremia 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki