Methali 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+ Waroma 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 dhiki na taabu, juu ya nafsi ya kila mtu anayefanya mabaya, ya Myahudi+ kwanza na pia ya Mgiriki;+