Waebrania 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+
10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+