Methali 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+ Methali 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+ Yeremia 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+
14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+
29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+
3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+