2 Mambo ya Nyakati 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hamtahitaji kupigana+ katika kisa hiki. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ mkauone wokovu+ wa Yehova kwa ajili yenu. Ee Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msiwe na hofu.+ Kesho waendeeni, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+ Zaburi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wokovu ni wa Yehova.+Baraka yako iko juu ya watu wako.+ Sela. Zaburi 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Farasi ni udanganyifu kwa ajili ya wokovu,+Na kwa wingi wa nguvu zake haokoi.+ Zaburi 68:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+ Ufunuo 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+
17 Hamtahitaji kupigana+ katika kisa hiki. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ mkauone wokovu+ wa Yehova kwa ajili yenu. Ee Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msiwe na hofu.+ Kesho waendeeni, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+
20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+
10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+