Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hamtahitaji kupigana+ katika kisa hiki. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ mkauone wokovu+ wa Yehova kwa ajili yenu. Ee Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msiwe na hofu.+ Kesho waendeeni, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+

  • Zaburi 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wokovu ni wa Yehova.+

      Baraka yako iko juu ya watu wako.+ Sela.

  • Zaburi 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Farasi ni udanganyifu kwa ajili ya wokovu,+

      Na kwa wingi wa nguvu zake haokoi.+

  • Zaburi 68:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+

      Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+

  • Ufunuo 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki