Yeremia 38:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo Ebed-meleki Mwethiopia akamwambia Yeremia: “Tafadhali, tia hivi vitambaa vizee-vizee na vipande vizee-vizee vya nguo katika makwapa yako chini ya kamba.” Basi Yeremia akafanya hivyo.+ Marko 10:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa,+ bali kuhudumu na kutoa nafsi yake iwe fidia+ badala ya wengi.”+
12 Ndipo Ebed-meleki Mwethiopia akamwambia Yeremia: “Tafadhali, tia hivi vitambaa vizee-vizee na vipande vizee-vizee vya nguo katika makwapa yako chini ya kamba.” Basi Yeremia akafanya hivyo.+
45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa,+ bali kuhudumu na kutoa nafsi yake iwe fidia+ badala ya wengi.”+