9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+
11 Lakini ninyi husema, ‘Mtu akimwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho unachoweza kufaidika nacho kutoka kwangu ni korbani,+ (yaani, zawadi iliyowekwa wakfu+ kwa Mungu,)” ’—
2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+