Methali 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+ Methali 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+ Methali 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mipango ya mwenye bidii bila shaka huleta faida,+ lakini kila mtu anayetenda haraka-haraka bila shaka huuelekea uhitaji.+
4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+
4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+
5 Mipango ya mwenye bidii bila shaka huleta faida,+ lakini kila mtu anayetenda haraka-haraka bila shaka huuelekea uhitaji.+