Wimbo wa Sulemani 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na bubujiko la bustani, kisima cha maji safi,+ na vijito vinavyotiririka kutoka Lebanoni.+ 1 Wakorintho 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mume na ampe mke wake haki+ yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+