5 “Ikiwa mwanamume atamchukua mwanamke mpya,+ hapaswi kwenda jeshini, wala asitwikwe jambo lingine lolote. Ataachwa akae katika nyumba yake kwa mwaka mmoja, naye amfanye mke wake ambaye amemwoa ashangilie.+
9 Furahia maisha pamoja na mke unayempenda+ siku zote za maisha yako yaliyo ya ubatili ambayo umepewa na Yeye chini ya jua, siku zote za hali yako iliyo ya ubatili, kwa maana hilo ndilo fungu lako maishani+ na katika kazi yako ngumu unayoifanya kwa bidii chini ya jua.
15 Na kuna mtu ambaye hakufanya hivyo, kwa vile alikuwa na baki la roho. Huyo naye alikuwa akitafuta nini? Uzao wa Mungu.+ Nanyi jilindeni kuhusiana na roho yenu,+ na yeyote asimtendee kwa hila mke wa ujana wake.+