Methali 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Midomo ya uwongo ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wanaotenda kwa uaminifu ni furaha kwake.+ Methali 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyetenda kwa haki ni chukizo kwa waadilifu,+ na mtu mnyoofu katika njia yake ni chukizo kwa mwovu.+
27 Mtu asiyetenda kwa haki ni chukizo kwa waadilifu,+ na mtu mnyoofu katika njia yake ni chukizo kwa mwovu.+