Zaburi 72:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu+Na ya watu wako wenye kuteseka kwa hukumu.+ Isaya 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+ Isaya 42:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+
4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+
42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+