25 Nanyi mtamtumikia Yehova Mungu wenu,+ naye hakika ataubariki mkate wako na maji yako;+ nami kwa kweli nitageuzia mbali ugonjwa kutoka katikati yako.+
10 Leteni ghalani sehemu zote za kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ nanyi, tafadhali, mnijaribu kwa njia hii,”+ Yehova wa majeshi amesema, “kama sitawafungulia ninyi malango ya mbinguni+ na kuwamwagia baraka hata kusiwe na uhitaji tena.”+