Methali 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwanangu, ikiwa umekuwa mdhamini wa mwenzako,+ ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono katika mapatano,+ Methali 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu aliyepungukiwa moyoni hupeana mikono,+ akitoa dhamana kamili mbele ya mwenzake.+ Methali 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa mtu amemwekea mgeni dhamana, lichukue vazi lake;+ na ikiwa amejihusisha na mwanamke mgeni, chukua rehani kutoka kwake.+ Methali 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+
6 Mwanangu, ikiwa umekuwa mdhamini wa mwenzako,+ ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono katika mapatano,+
16 Ikiwa mtu amemwekea mgeni dhamana, lichukue vazi lake;+ na ikiwa amejihusisha na mwanamke mgeni, chukua rehani kutoka kwake.+
26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+