3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.
20 Na kwa hiyo kwa Wayahudi+ nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria nilikuwa kama aliye chini ya sheria,+ ingawa mimi mwenyewe siko chini ya sheria,+ ili niwapate wale walio chini ya sheria.
20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+