Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtu mwovu anapata mshahara wa uwongo,+ lakini anayepanda uadilifu, hupata mapato ya kweli.+

  • Methali 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuna njia ambayo imenyooka mbele ya mwanadamu,+ lakini njia za kifo ndizo mwisho wake baadaye.+

  • Luka 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+

  • 1 Wakorintho 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?+ Yuko wapi mwenye kubishania+ maneno wa mfumo huu wa mambo?+ Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki