Zaburi 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+Panga ziko midomoni mwao,+Kwa maana ni nani anayesikiliza?+ Yakobo 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kubariki na kulaani hutoka katika kinywa kilekile. Haifai, ndugu zangu, mambo haya kuendelea kutendeka kwa njia hiyo.+
10 Kubariki na kulaani hutoka katika kinywa kilekile. Haifai, ndugu zangu, mambo haya kuendelea kutendeka kwa njia hiyo.+