Isaya 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+ Isaya 57:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na hakika mtu atasema, ‘Fanyeni matuta, fanyeni matuta! Fungueni njia.+ Ondoeni kipingamizi chochote katika njia ya watu wangu.’”+ Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+
21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+
14 Na hakika mtu atasema, ‘Fanyeni matuta, fanyeni matuta! Fungueni njia.+ Ondoeni kipingamizi chochote katika njia ya watu wangu.’”+
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+