1 Wafalme 1:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Na hivi pia ndivyo alivyosema mfalme, ‘Abarikiwe+ Yehova, Mungu wa Israeli, ambaye leo ametoa mtu wa kuketi juu ya kiti changu cha ufalme, macho yangu yakiwa yanaona jambo hilo!’”+ Methali 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mwanangu, ikiwa moyo wako umekuwa na hekima,+ moyo wangu utashangilia, naam, moyo wangu.+ Methali 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+ ili nipate kumjibu anayenidhihaki.+
48 Na hivi pia ndivyo alivyosema mfalme, ‘Abarikiwe+ Yehova, Mungu wa Israeli, ambaye leo ametoa mtu wa kuketi juu ya kiti changu cha ufalme, macho yangu yakiwa yanaona jambo hilo!’”+