2 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’ 2 Samweli 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi kukawa na njaa+ katika siku za Daudi kwa miaka mitatu, mwaka baada ya mwaka; naye Daudi akatafuta shauri mbele za uso wa Yehova. Kisha Yehova akasema: “Kuna hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+ Mathayo 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake akajinyonga.+
10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’
21 Basi kukawa na njaa+ katika siku za Daudi kwa miaka mitatu, mwaka baada ya mwaka; naye Daudi akatafuta shauri mbele za uso wa Yehova. Kisha Yehova akasema: “Kuna hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+