Mwanzo 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye Yakobo akatumikia miaka saba kwa ajili ya Raheli,+ lakini machoni pake hiyo ikawa kama siku chache kwa sababu alimpenda.+ Methali 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urithi kutoka kwa akina baba ni nyumba na mali,+ lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.+
20 Naye Yakobo akatumikia miaka saba kwa ajili ya Raheli,+ lakini machoni pake hiyo ikawa kama siku chache kwa sababu alimpenda.+