Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ Hosea 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+ Ufunuo 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ukiteremka kupitia katikati ya njia yake pana. Na upande huu wa mto na upande ule kulikuwa na miti+ ya uzima yenye kuzaa mazao kumi na mawili ya matunda, ikitoa matunda yake kila mwezi.+ Na majani ya miti ile yalikuwa ya kuponya mataifa.+
6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+
2 ukiteremka kupitia katikati ya njia yake pana. Na upande huu wa mto na upande ule kulikuwa na miti+ ya uzima yenye kuzaa mazao kumi na mawili ya matunda, ikitoa matunda yake kila mwezi.+ Na majani ya miti ile yalikuwa ya kuponya mataifa.+