19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,